Pdf Free Yesu na wanyama

Mnyama pia naye aliumbwa na Roho wa uumbaji wa milele, na ni wa Uzima uliopo milele na milele: yaani Mungu.
Inicio chevron_right Libros, Música y Películas chevron_right E-books
my_location Ubicación:
Todo el País
visibility Visto:
94 veces
person Responsable:
Editorial Gabriele
phone Teléfono:
WhatsApp 004915908454505
schedule Publicado el:
07 feb 2024
thumb_up_alt Compartir:
 
 
photo Galería

Madondoo ya brosha :
"Hata kama mtu amenunua mnyama, mnyama huyo sio mali yake. Kama vile mwili wa kiroho yaani nafsi ndani ya mwanadamu, ni ya Uzima wa Milele kwa sababu ni Wamilele ndiye aliyeiumba. Kiumbe cha kiroho huishi na Wamilele katika Uzima wa Milele.
Mnyama pia naye aliumbwa na Roho wa uumbaji wa milele, na ni wa Uzima uliopo milele na milele: yaani Mungu.
Kile kisichyo na mwisho chote ni upendo unaohudumu, Uzima unaohudumu. Mwanadamu pia anaalikwa na Mimi, Kristo, kuwatumikia jirani zake bila ubinafsi.
Ni lazima tuelewe pia kwamba maneno «majirani zake» yanahusu pia majirani viumbe vingine vya mazingira, wanyama.
Kwani mnyana pia amepewa uwezo wa huduma usio na ubinafsi na anawasaidia kwa moyo mkunjufu watu wanaompenda."

16 pages

http://www.editions-gabriele.com/

comment Preguntas y Comentarios